Usafiri Anga
Lazima tubadilike. Uwekezaji kwa Air Tanzania lazima upunguze kadhia tunazopata kwa kufungua njia kwenda nchi zote muhimu kiuchumi na kibiashara
SimbaSC inaenda Kinshasa, DRCongo lakini inazungukia Addis Ababa, Ethiopia na Ethiopian. Kwa nini?
Lazima tubadilike. Uwekezaji kwa Air Tanzania lazima upunguze kadhia tunazopata kwa kufungua njia kwenda nchi zote muhimu kiuchumi na kibiashara
SimbaSC inaenda Kinshasa, DRCongo lakini inazungukia Addis Ababa, Ethiopia na Ethiopian. Kwa nini?
Visingizio vya ruti hazina faida ni upuuzi. Tengeneza hub ya Air Tanzania hapa JNIA kwa kuwa na ruti kwenda nchi zote za Afrika. Fungua nchi. Kama tunavyotumia Ethiopian na KQ abiria wengi watatumia Air Tanzania
Anza taratibu. AddisAbaba haikua ktk masaa 24
Anza taratibu. AddisAbaba haikua ktk masaa 24