UZI [ THREAD ]
Kuna mtu aliniuliza ni kwa nini mataifa mengi makubwa Duniani yanaogopa sana China kumiliki mitambo ya 5G ?
Leo tuangalie kiundani zaidi hii vita ya Tekinolojia
Kabla ya kwenda kwenye majibu, tuangalie kwa ufupi 5G ikoje
Speed ya 5G ni mara 100 zaidi ya 4G

Leo tuangalie kiundani zaidi hii vita ya Tekinolojia
Kabla ya kwenda kwenye majibu, tuangalie kwa ufupi 5G ikoje
Speed ya 5G ni mara 100 zaidi ya 4G
Yaani unaweza Kudownload movie yako yenye ukubwa wa 5GB ndani ya sekunde kadhaa
5G iko faster zaidi katika ku-transer data volume kuliko 4G, lakini watu wengi hawaelewi neno "faster" linaweza kuwa na impact kubwa kwenye ulimwengu wa digitali
Kwa 5G hakuna haja ya Kudownload
5G iko faster zaidi katika ku-transer data volume kuliko 4G, lakini watu wengi hawaelewi neno "faster" linaweza kuwa na impact kubwa kwenye ulimwengu wa digitali
Kwa 5G hakuna haja ya Kudownload
Movies and games, unaweza ku-stream movies au kucheza games online bila tatizo lolote
Kabla ya kujibu swali, tuone
Je ni nani hasa anaogopa sana China kumiliki 5G, hapa jibu ni Marekani na washirika wake
US wanatengeneza pesa nyingi sana kupitia Tekinolojia waliyonayo
Kabla ya kujibu swali, tuone
Je ni nani hasa anaogopa sana China kumiliki 5G, hapa jibu ni Marekani na washirika wake
US wanatengeneza pesa nyingi sana kupitia Tekinolojia waliyonayo
Kuna njia kadhaa, tuangalie chache muhimu
Technological Patents [ Hatimiliki ]
Hii inajieleza yenyewe, unabuni kitu kipya unakiwekea hati miliki ili mtu akitaka kukitumia analipia, kama hataki anaacha
Point kubwa ni kwamba hawa jamaa wanaweka hatimiliki ya kila

Hii inajieleza yenyewe, unabuni kitu kipya unakiwekea hati miliki ili mtu akitaka kukitumia analipia, kama hataki anaacha
Point kubwa ni kwamba hawa jamaa wanaweka hatimiliki ya kila
Teknolojia waliyonayo iwe kubwa au ndogo kitu ambacho kinaweka ugumu/pingamizi kwa mataifa mengi na wataalamu kuendeleza Tekinolojia yao. yaani wanataka kila mtu aguswe au atumie chao wamarekani either directly or indirectly, ukitaka kuendeleza Tekinolojia yao inabidi ulipe
na wanalipisha pesa nyingi MNO
Takribani 70% ya Tekinolojia inayotumika Duniani wanamiliki wao either softwares au hardware
Intel, Microsoft, Google, Facebook, IBM, Apple, twitter, Qualcomm hizo zote ni zao
Ndiyo maana wanaogopa sana China kumiliki 5G maana atawazidi pakubwa
Takribani 70% ya Tekinolojia inayotumika Duniani wanamiliki wao either softwares au hardware
Intel, Microsoft, Google, Facebook, IBM, Apple, twitter, Qualcomm hizo zote ni zao
Ndiyo maana wanaogopa sana China kumiliki 5G maana atawazidi pakubwa

Hawa US wananufaika sana na vita na hilo halifichiki yaani wana-involve kwenye kila vita Duniani either directly or indirectly
kivipi wanatengeneza pesa nyingi kama wao hawapigani ?
Jibu ni "Wanauza vifaa vya kivita"
Je kama hakuna vita?
Wao wanaweza kutengeneza vita
Kivipi wanaweza kutengeneza vita?
Mfano 1
Wao: Hey bro nataka ninunue mafuta kwako
Mimi: Sawa, nitakuuzia $10 kwa dumu moja
Wao: Hapana, nitanunua kwa cent 2 na nataka uweke kipande cha dhahabu kwa kila dumu
Mimi: Toka hapa hiyo siyo biashara
Kivipi wanaweza kutengeneza vita?
Mfano 1
Wao: Hey bro nataka ninunue mafuta kwako
Mimi: Sawa, nitakuuzia $10 kwa dumu moja
Wao: Hapana, nitanunua kwa cent 2 na nataka uweke kipande cha dhahabu kwa kila dumu
Mimi: Toka hapa hiyo siyo biashara
Wao: wanatangaza kuwa wewe ni hatari sana na unamiliki mabomu, na kwa sababu wananguvu Duniani kila mtu atawasikiliza
Mimi: imekuaje tena???
Wao: tulikwambia tufanye deal ukakataa sasa utachukuliwa kama gaidi, mafuta na dhabadu tutachukua bure
Mimi: imekuaje tena???
Wao: tulikwambia tufanye deal ukakataa sasa utachukuliwa kama gaidi, mafuta na dhabadu tutachukua bure
Mfano 2
Mfano unaanzia kwenye familia ya ndugu wawili Jack na Ben na Baba yao na nina ukaribu nao mzuri, nafikiri namna ya kupata faida kutoka kwao
Siku moja nikamfata baba yao na kumshauri anunue Toy moja kwa wote wawili, ilihali najua watapigania hiyo toy
Mfano unaanzia kwenye familia ya ndugu wawili Jack na Ben na Baba yao na nina ukaribu nao mzuri, nafikiri namna ya kupata faida kutoka kwao
Siku moja nikamfata baba yao na kumshauri anunue Toy moja kwa wote wawili, ilihali najua watapigania hiyo toy
Ikatokea siku moja Jack na Ben wakaanza kugombia hiyo Toy aliyonunua Baba yao na kila mtu Hataki kushindwa,
Mimi nikamfata Ben: unatakiwa kuipata Toy maana wewe ndiyo unapendwa zaidi, kwanini usinunue Gun kutoka kwangu ili umshoot Jack
Nikaenda kwa Jack nikamwambia the same
Mimi nikamfata Ben: unatakiwa kuipata Toy maana wewe ndiyo unapendwa zaidi, kwanini usinunue Gun kutoka kwangu ili umshoot Jack
Nikaenda kwa Jack nikamwambia the same
Automatically hawa Jack na Ben watakuja kununua Guns na Bullets/risasi kwangu na ugomvi wao utadumu kwa mda mrefu sana, mpaka nitakapoona wamekuwa masikini
Nimechukua hela zao zote na wao wamekuwa maskini ingawa niliwachonganisha mwenyewe
That's how they make a lot of money
Nimechukua hela zao zote na wao wamekuwa maskini ingawa niliwachonganisha mwenyewe
That's how they make a lot of money

Kuna points kuu mbili
1: MABADILIKO YA TEKINOLOJIA
China wanamiliki 5G na bado wanatest mitambo ya 6G, kwa kutumia 5G vitu vingi vinabadilika na hatimiliki zao zitakuwa
hazina maana tena.
Kwa kutumia full developed 5G Hakuna sababu ya kutumia PC, yes person computer yenye motherboard, processor, graphics card etc, kila mtu atatumia supercomputer
Kwa kutumia 5G, supercomputer moja inaweza kutumiwa na mamillion ya watu
Kwa kutumia full developed 5G Hakuna sababu ya kutumia PC, yes person computer yenye motherboard, processor, graphics card etc, kila mtu atatumia supercomputer
Kwa kutumia 5G, supercomputer moja inaweza kutumiwa na mamillion ya watu
Mtu atahitaji kuwa na screen, transmitter na receiver na pengine ports za keyboard, mouse etc
Taarifa na files zako zitatuzwa na kuwa processed na supercomputer zilizo mbali na wewe [ shared supercomputers ] na uzuri wireless iko faster kuliko cable connection
Taarifa na files zako zitatuzwa na kuwa processed na supercomputer zilizo mbali na wewe [ shared supercomputers ] na uzuri wireless iko faster kuliko cable connection
Yaani processor na drive ziko mbali ila una uwezo wa ku-acess taarifa zako ndani ya sekunde
Taifa linalo-control technological trends ndilo litakuwa na nguvu kubwa Duniani na soko la Dunia kwa ujumla
Hapo teknologia ya Marekani itaanza kupotea na hatimiliki zao zitakuwa useless
Taifa linalo-control technological trends ndilo litakuwa na nguvu kubwa Duniani na soko la Dunia kwa ujumla
Hapo teknologia ya Marekani itaanza kupotea na hatimiliki zao zitakuwa useless
Point 2: Military [ Jeshi ]
Hii ndiyo point kubwa mno, China ikianza ku-apply 5G kwenye majeshi yake itawazidi mbali sana wapinzani wake ambao actually ni US wenye jeshi imara Duniani
Impossible tasks ambazo zilishindikana kipindi cha nyuma na kwa kutumia 5G
Hii ndiyo point kubwa mno, China ikianza ku-apply 5G kwenye majeshi yake itawazidi mbali sana wapinzani wake ambao actually ni US wenye jeshi imara Duniani
Impossible tasks ambazo zilishindikana kipindi cha nyuma na kwa kutumia 5G