Kuna groups flani pale chuo zinakuwaga lit kama ile ya @Roy_Wa_Sambu unapataga wasee wa kila aina kama juzi Deputy wao @Mrdeputy_ke alikuwa amejam sana ju ya majibu alikuwa amepewa na studii flani hukuwa crazy @crazy_tenant na ndo ujue ni crazy aliulizwa kwa pepa
ya histo aname the deepest lake in Africa akaeka hapo women,surely women🤔🤔kuulizwa reason akasema madame sai ni mitaro deep hata L.tanganyika haifiki na wakitaka proof waulize Og wa group @ColloOg uyu ni chali amechimba mitaro mob ako na experience kwani we wadhania io jina
Alitoa wapi But ju ii kitu ilikuwa imeleta debate kali pale group ikabidi waulize chopi wa daro @MrRightke ,uyu ni chali kila group hutamkosa na si we wajua venye machopi sometimes hubehave wanataka walambwe ndo wasaidie msee so ikabidi mastermind wa group na mchochezi wa chaos
@KaiserToniz aongee na ex wa @MrRightke dame flani amebeba ass si humwita @ItsYourEX__ aende amtongoze tupate jibu but si unajua kuna wasee huwa wanapenda chaos yaani hii time yote watu wakitafuta answer to the deepest lake mabackbenchers wasumbufu wa group kina @richu_jay
@Woka_flaka na mwenzao @Derek_charlo boy flani mkamba kwanza ye na maji ni zii,wakamba na maji hawaelewani walikuwa pale na wachochezi wenzao kazi hawachangii ata swali ikuwe ni gani lakini ikikam kwa siasa hao ndo kusema,kina @Edgar_Da_Goat na chali mtiaji mwengine @vanceviker
Walikuwa dunia yao,ati wanasema kuna kitu inabrew up between slay queen flani wa group Vee real name @Musimbi_ na leader wetu @Roy_Wa_Sambu na kuna venye walikuwa wanataka kuleta chaos na si wajua lazima watafute support ya maslay queen wengine kama @sly_daniel_ @Anita_Wangarii
@Its_CarolDianna na kina @kerubo_1 kwani tu Roy ameona nini tu kwa Vee na hata kuna madame wengine though wanakuaga madame nasty,madame wa true definition of bad girls.Hawa hata ikiwa ni maths utawaskiza wanaongea venye boy flani ako na toothpick,nani boobs zake
Hata washikilie na wa Kenya wote haiwezi simama kila kitu kwao ni about sex na si eti naogopa kuwataja hawa 3 musquteers si ni kina Horny SoUl @cOochie_free ,smileychery @Smileycherry2 na beshte yao mtamu kama jina yake The Berry @Nyargidaktari but hata hii chaos
Yao sitadhani ka walikuwa wanaelewana ju huko mbele machopa kina Mr Right,kina @cokeke__ na @DenviQ_Kenya wanasearch answer na mabackbenchers wanatafuta chaos lakini kelele yenye iko hapa ya kina @KashawtyShii though si humwita shii na her twinnie @Krepublics
Na boy flani though ni chali lakini kwa pang'ang'a utadhani ni Boni khalwale huyu chali ni @wockandaglock kunyamaza kwake ni taboo walikuwa wanafanya kudiscuss issues kuwa tricky.But hii time yote kuna sa wakutake advantage na kufanya biz hawa ndo mapedi wa kila kitu shule
Wanapiga canteen ya shule compe kina Blacklamb @Magic2Girl na Lewis @mokualewis kazi ni kutuuzia credo na hadi viatu si unajua kuna time ufika funky inatokea na lazima ukuwe presentable hapo ndo time huwa wanakam through.But kuna mastudii wengine hata wakuwa na shughuli
Na hizi stuff zote,hao main issue yao ni eti wanataka chaos itokee ndo wapate story za kuchapia wasee dorm,wanakuanga mastoryteller na ma threadist wanoma na kwani wadhani naongelea kina Chinua Achebe ama Kiriamiti hapana ni mkebe ya asali @mkebe_ya_asali na dame flani
anakuaga amecheza chini huwezi juwa ata kama ako but mpate kwa dorm akipigia madame story utashangaa kama ni yeye na si mwingine bali ni @martha_muchira alafu tusisahau wasee wa vitisho kama Kenya power na supu ya mtura @iamkuriah.Wacha nitawapea udaku day nyengine mode amekam
NO HARD FEELINGS

JUST FOR FUN

Follow @cOochie_frii, @mkebe_ya_asali and @FinnestPipeline for a quick fb
You can follow @cOochie_free.
Tip: mention @twtextapp on a Twitter thread with the keyword “unroll” to get a link to it.

Latest Threads Unrolled:

By continuing to use the site, you are consenting to the use of cookies as explained in our Cookie Policy to improve your experience.