My first sleep over was an epic fail

. So kuna huyu dem tulimit naye kwa bash siz. Dem alikua amejibeba sikatai, lakini sura bado haikuwa imekubali viile.Venye unajua "Punda akufe lakini bora mzigo ufike" nikaamua kushoot my shot. Dem nilimgotea,but to my surprise ni kama



alikuwa amencrushia but hajawahi sema. Hakuwa na maringo, tulibonga almost about 30 minutes na juu alikuwa maji already akadai anadai kuishia na mabeshte zake. Nikaomba namba akanipea. Dem alikuwa na job ya mpesa yenye alikuwa amewekewa na "sponsor" wake. Si kila mwenye makucha
huwa simba. Dem tulikuwa tunabonga daily via texts lakini nilikua bado naogopa kuomba mali, si unajua lazima kwanza ujifanye gentleman
. Bytha ushai onyesha dem kama ukona haraka ya kugwara
. Lakini day fulani after kupiga kichwani kimoja na mbogi nikaamua nimtext nimuombe.



Nilikua ready chenye kitazaliwa nitanyonyesha
. Shit happened against my expectations. Dem alireply "what to you so long i thought you would never ask". Hapo nikajua lazima boyshaod agware mali. Tukapanga the coming sato lazima nimtembelee juu sponsor wake alikua ameenda on a

"business trip". Si unajua excuses za hawa matajari
. Dem akaniambia nisijisumbue nikitafuta fare juu alikuwa ameawchiwa 10K na sponsor za weekend,akanijenga 2K na akanishow nisikose kufika
. Wikendi ikafika mimi ndo huyo kwa morio wangu nikaomba toja na Timberlands za brown



Unajua Brocode 5:16 inasema thee must help your bro with clads to impress a galdem
. Morio akanijenga nikaishia zangu kwa bedsitter kujing'arisha.
Follow me and turn on my Notifications

Episode 2 at 8pm


Follow me and turn on my Notifications


