We all make choices but in the end our choices make us.

Thread
"Huu ndio ukweli wa mambo ktk maisha yetu. Popote tulipo sasa, chochote tulichonacho kwa sasa, vimetokana na maamuzi ambayo tuliyafanya uko nyuma" @Ksingle and @Sakallytz

Watu wengi wamekwama kwenye maisha yao kwa kushindwa kufanya maamuzi sahihi na kwa wakati.
Ndio maana @c_kivuruga anakwambia " miaka kumi kuanzia leo, utajutia zaid mambo ambayo hukufanya zaid ya yale uliyoyafanya.

Bila ya kujali wewe ni nani, upo wapi, umetokea familia gani, umesoma au la, unao uwezo wa kufanikiwa kwa jambo lolote kama
ukiamua kwa kudhamiria na kuanza kuchukua hatua

Katika kujihakikishia mafanikio, @nyamwezi na @h3nbnjcl wanakwambia epuka maamuzi haya

1. Maamuzi ya kuchelewa kupeleka bidhaa yako sokoni
2.Maamuzi ya kusubiri wengine wakuruhusu kufanyia kazi malengo yako
3.Maamuzi ya kutaka kumridhiza kila mtu
4.Maamuzi ya kutokupenda kupitia maumivu.

#Mchachu2020
You can follow @mchachu_.
Tip: mention @twtextapp on a Twitter thread with the keyword “unroll” to get a link to it.

Latest Threads Unrolled:

By continuing to use the site, you are consenting to the use of cookies as explained in our Cookie Policy to improve your experience.