Nimesoma matweets kadhaa za worst experience kwa fifa lakini kusema ukweli haiwezi fikia yangu more or less😂😂i also know english u know🌊🙅🙅😞❌‼️‼️▶️▶️▶️

THREAD
So mimi nilikua niko pro at the time hapo second sem 1.1…😌mi ndo nilikua naenda kwa kikao ya rende napiga wote looser pay na natoka nikitingisha haga😁😁secret:nilikua najua kudefend joh😆a milestone kwa fifa players all over
Kuna day flani tulihire ps at that time mimi na arif wangu Lickey na Eriko ndo tulikua tunatoa madoo na coz hatuezi cheza tourna ya watu watatu ikabidii tulete mafree loaders watatu🤣hadi sikujua walitoka wapi but nilikua sure nitawalipua kibeirut😁.
Tulichukua screen na Fifa na pads kila mtu akibeba yake😞mi na mambese yangh ndo nilipewa shughli ya kubeba hyo 64"TV yawa😣. After tumshaiseti kwa keja tukaendea hao ma'recruits'. Majamaa hawakua na irie watu wapole na mmoja alikua fatso😩 WARNING mafat danks are a no go zone😭
After tumeshaseti kila settings tukaenda kuchagua teams😁mi na upro wangu nikachagua Bayern team kubwa 😌some money was on the line u know…nilijua tu hapa nitarip big tulikua tumechanga kila mse so that was approximately 500 excluding ule fatnigga mwenye alisema hana doo.
Mi nikaanza torna wakwanza na Eriko😁 kama kawaida nikamrape 🤣na kumwachia mouth odour ingine Moto hadi akacatch🤣🤣.game ikaendelea smoothly 😁nikapatana na huyu fatnigga ,Longnius, jina kama ancestor akashika pad mi na ujuaji yangu nikaanza kumshow vile hana shit.
Nikaanza uradi zimeenda group of schools nilikua najua nitadinya mtu mbaya😌 expectations ni wild horses bro🤣🤣they always turn down the master when not carefully meditated🤣🤣bazenga na team yake ya Piedmonte hakua anaskia shit amenyamaza tu hapo akiniangalia na sardistic tone,
Walai mabazenga msiwai i repeat msiwai ongea dirt kabla upakwe matope😭 game ikaanza .…"this is martin tyler and allan Smith……"nikisema tu hivi najua dhidi huingia tu fifa tweeps🤣🤣so mse akaanza kwa kuridisha ball smoothly akipass around😁😌nikajua huyu ni noobie😁
Then boom bao ya kwanza within dakika ya tatu👀🙆morio ogopa 😂 nikasema hapa hakuna tata nitareclaim tu😩"…and there is another goal and what an a-maizing finish…"ingine😣njeve ikanipata🙆bro sijawai shtuka hyo na bado dakika ya kumi haijaingia na tulikua tunacheza 5 minutes😞
Gaidi ukimwangalia anasmile tu kama wanjohi akichukua loan🙆nikaamua kukunja haga sasa😁wazito karibu nipatwe na muscle pull ya matako😞. Brejin dakika ya 60 mse ameshanisha mabao kumi🙆🙆. Mi nikaanza kujitetea vile nilikua na stress joh😁hapo ndo mbogi yako hukuruka😞
"….aii bro navilr ulikua unanyamba mabanter kabla mechi ianze🤣🤣…"waa mnasemanga kudislocate oblangata😞blood pressure ikaanza kupanda😩nikireminisence vile mdenge wangu ataambiwa naskia kulia😞🙆.saizo nimeshika pad ikivibrate kma mse wa konyagi daily takers KDT
Dakika ya 80 mabao zimefika 12😩na saizo sikafunga any😣jasho ikaanza 🤣morio na kujiteteta ilinidii 🤣mi nikaanza the usual excuses za vile pad yangh ni mbaya and all that shit. Match ikadie 13-1hadi hyo bao ya mwisho fifa ilinionea tu nifunge🤣
Nikakaa hpo nimesweat hadi uoga😞Lickey akaanza "…kumbe pia we unaeza dinywa bro sikujua ona sasa umekunja haga Hadi toja imeenda launch 🤣🤣…"waa hap nikajua nikubaya 😞nikasema ninaenda choo🤣🤣huuo gaidi ikasema"…unaenda kudenki majukuu wa hzo mabao ama🤣🤣😩…"
Warazi semeni frustrations🤣hyo wiki nzima nikaenda MIA😩nigga alikam bure akajeza bure akashinda bure akalipwa doo zetu😩waa hadi saizi naogopa kucheza na watu wamenyamaza kwa fifa😩

RETWEETS guyz😁😁and like 🤣mjue fifa si ya mtu joh❌❌
You can follow @Whisers1.
Tip: mention @twtextapp on a Twitter thread with the keyword “unroll” to get a link to it.

Latest Threads Unrolled:

By continuing to use the site, you are consenting to the use of cookies as explained in our Cookie Policy to improve your experience.