#UZI
#OURprivacyMATTER

🐾PASSWORD/NYWILA:
🐾➡️Ulishafungua account ngapi kisa kusahau password??...
🐾➡️Tunashauriwa tutumie password zenye nguvu, ni zipi hizi zenye nguvu??
🐾➡️Password fupi, ndefu mara iwe na namba n.k...
🐾➡️JINSI AMBAVYO PASSWORD YAKO INAEZA KUIBWA ..
👇
🐾➡️Mtandaoni(online) kuna namna nyingi tumewekewa ya kujilinda, ili kuwa salama sisi na taarifa zetu binafsi pamoja na vifaa vyetu!
🐾➡️Na pia kuhakikisha faragha(privacy) ya uhakika inakuwepo kwa kila mmoja wetu!
-Hakuna ambaye angependa kila kitu kiwe wazi kumuhusu yeye!!
👇
🐾➡️Zipo njia za kulinda vifaa vyetu pamoja na account zetu ambazo tumewekewa, Ili isitumike na wengine wasiokuwa sisi bila idhini yetu!
🐾➡️Miongoni mwa njia hizo ni LOCK, PIN, PASSCODE, FACIAL SCREENING, PASSWORD, FINGERPRINT n.k

-hapa tutazungumzia PASSWORD hasa katika....
.... account zetu.... hizo njia zingine tutakuja kuzicheki siku nyingne... tuombe uzima!

🐾PASSWORD/NYWILA
🐾➡️Huu ni mtindo wa kuweka neno la siri katika account zetu ili zisiweze kutumika na watu wengine kwa nia mbaya!.. Neno hili la siri ndilo linathibitisha umiliki wa......
.... account zetu(wengi wetu tunafahamu hili)
🐾➡️Lakini kwa nini PASSWORD imekuwa haiaminiki tena(old fashioned)? Sababu ni hii, kwanza alama zote za uandishi (ikiwemo namba,herufi na alama zingine) zinafahamika na kompyuta! Kwa mantiki hii hakuna neno utaweka kwenye COMPUTER..
.. lisitambulike,
🐾➡️Wakali wa mathematics akina @mpambazi_ hapa hawawezi kunibishia, maana kuna kipart huko kinaitwa PROBABILITY ndani yake kuna vijipart vinaitwa PERMUTATION na COMBINATION!... Hapa ndipo utaweza kuona kwamba selection za herufi zina limit kwa idadi! 🚸....
🐾➡️Usishangae ukakuta hio password unayotumia kuna mtu mwingine unashare nae😨..... Eeehh ndo ivo!... Ila hilo sio swala....
🐾➡️Swala ni hili, uwezekano wa password yako kutambulika ni mkubwa sana! ... Na hii hufanywa na watu wachache wenye akili nyingi wakisaidiwa
na WORLDPASSWORDCRACKING....
🐾➡️World password cracking hiki ni kifurushi cha all world possible passwords, ni kifurushi ambacho hacker hutumia kumatch password yako!... Sijui nimeeleweka hapo, kama hujanielewa hapo nitapitia coments!
🐾➡️Kinachofanyika ni kwamba hacker......
.. akishadowload hiko kifurushi,hapa password zinazokuja ni zile zinazokaribiana kufanana na ya kwako, anakwenda kuguesss password moja na kisha kumatch na yako, atajaribu hivyo mara kadhaa mpaka ikubali!.. na si unajua mtu akiwa na nia tena, ataipata tuu.. 😂😂... Usiogope!
😂sio rahisi saana kwake kuipata!.. wacha tudunde na tuperuzi kwa amani online👍

🐾➡️...kwa kuongezea pitia hapa kwa @razaqdm01 https://twitter.com/razaqdm01/status/1276163126111674375?s=19
🐾➡️Sasa basi kama ni hivyo tunafanyaje?..
-Tunapofungua account kwa mara ya kwanza huwa tunakuwa commanded kutumia strong password!.... Na inatuelekeza kabisa kuwa hizo strong password inakuaje, tuchanganye changanye herufi, namba n.k.... changamoto inakuja kwenye kusahau ....
.... kutokana na uandikaji wa ovyo wa password bila mpangilio(kama hujanote mahali)...

🐾➡️Hizi ni njia ambazo ukitumia password yako itakuwa imara na isiyosahaulika

1.PASSPHRAES
🐾➡️Hi kwa jina lingine inajulikana kama pass sentences, hii ni pale unapoamua kuweka password kama
.. stori fupi ambayo huwezi kuisahau maishani mwako, mfano; "NIMEOA SIKU AMBAYO NIMEPATA KAZI" halafu katika sentensi hio unachagua neno moja kulichanganyachanganya unavyojua wewe!... Na urefu wa hio stori utegemee na limit ya maneno uliyowekewa!...
🐾➡️Aina hii ya password ni..
....imara, ngumu kusahau pia kwa hacker atatumia nguvu nyingi sana kuipata!... Si rahisi, atatafuta mpaka atasurrender😂...

2.PASSWORD MANAGER
🐾➡️Kwa kuwa tuna account tofauti tofauti ambapo inatulazimu kutumia password zaidi ya moja tunashauriwa kutumia PASSWORD MANAGER!
🐾➡️Hizi ni softwares(APP's) ambazo hutumika ku hifadhi password zako, Unaweza ukasema "hii inakuaje tena si ndo ntaibiwa kirahisi!".. Hapana, iko hivi;
USALAMA:
a)Haina access na mtandao, maana ili uibiwe lazima kuwe na access ya mtandao!
b)Utakariri password moja tu.
3.MULTFACTOR AUTHENTICATION (MFA)
🐾➡️Hii ni njia ya ku-log in kwa kutumia njia tofauti, mfano; biometrics,cards n.k!... tumezoea ku-log in kwa EMAIL/NUMBER, PASSWORD na TXT inayotumwa kwenye simu yako kupitia hiyo email/number, hii inaitwa TWO FACTOR AUTHENTICATION(TFA)!...
🐾➡️TFA si salama saana!... Ndo mana tunashauriwa kutumia MFA, hii ni salama zaidi.
➡️√Mwisho

🐾🙏Ahsante kwa time yako....
SPREAD AWARENESS, SHOW YOU LOVE♥️❤️
➡️Kindly RT
@ManenoIzaak @ITexpertTz @razaqdm01 @niealda @TOTTechs @Kamigakikumbise @MiriamMkanaka @Unknown_zon
You can follow @knwlerKIKoti.
Tip: mention @twtextapp on a Twitter thread with the keyword “unroll” to get a link to it.

Latest Threads Unrolled:

By continuing to use the site, you are consenting to the use of cookies as explained in our Cookie Policy to improve your experience.