Leo niwaelekeze jambo flani ambalo wengi hawalifahamu
Jinsi gani touch screen inafanya kazi
Najua unatumia smartphone/tablet n.k lakini hujui touch screen ikoje na inafanyaje kazi na je kwa nini usitumie kitu chochote ku-touch kama plastic n.k
Fuatilia uzi taratibu


Fuatilia uzi taratibu
Jinsi gani touch screen inafanya kazi
Kwanza unatakiwa kuelewa kuwa touch screen ina sehemu kuu tatu (layers) ambazo hufanya kazi kwa pamoja na mfumo mzima wa simu
(a) toughened glass ( iliyopo huu)
(b) Capacitive Touch screen
(c) Display (OLED au LCD)
Kwanza unatakiwa kuelewa kuwa touch screen ina sehemu kuu tatu (layers) ambazo hufanya kazi kwa pamoja na mfumo mzima wa simu
(a) toughened glass ( iliyopo huu)
(b) Capacitive Touch screen
(c) Display (OLED au LCD)
1 Tuanze na toughened glass
Hii inaitwa scratch resistant ipo kwa juu sehemu unapogusa na kidole chako kwenye simu, kuna kitu kigumu wengine huita kioo cha simu
Hiki kioo ni kigumu mara tano zaidi ya vioo vya kawaida hata simu ikidondoka still bado inaweza kufanya kazi vizuri
Hii inaitwa scratch resistant ipo kwa juu sehemu unapogusa na kidole chako kwenye simu, kuna kitu kigumu wengine huita kioo cha simu
Hiki kioo ni kigumu mara tano zaidi ya vioo vya kawaida hata simu ikidondoka still bado inaweza kufanya kazi vizuri
Ilihali kioo kimepasuka au kuwa na scratch
Kwanini hiki kioo ni kigumu hivyo
Katika utengenezaji wa vioo vya simu wanatumia chemistry iko hivi
Wanachukua potassium nitrate wanachanganya na sodium katika temperature ya 400C kwa sababu potassium nitrates atom

Katika utengenezaji wa vioo vya simu wanatumia chemistry iko hivi
Wanachukua potassium nitrate wanachanganya na sodium katika temperature ya 400C kwa sababu potassium nitrates atom
ni kubwa kuliko za sodium basi zinachukua nafasi yake na sodium kupanda kwa juu (create layer) hivyo hutengeneza strong bond (uimara mkubwa) ndipo hutengenezwa kioo cha simu kwa ajili ya kulinda simu yako including touch screen and display pindi simu ikidondoka au mikwaruzo
2. Capacitive touch screen
Hii ndiyo inafanya kazi ya ku-sense na kujua kama touch imefanyika na imefanyika sehemu gani kwenye simu na kitu gani kionyeshwe (to be displayed)
Hii inajua kama kitu kilichogusa simu ni sahihi au siyo sahihi mfano umegusa simu kwa plastic
Hii ndiyo inafanya kazi ya ku-sense na kujua kama touch imefanyika na imefanyika sehemu gani kwenye simu na kitu gani kionyeshwe (to be displayed)
Hii inajua kama kitu kilichogusa simu ni sahihi au siyo sahihi mfano umegusa simu kwa plastic
material basi haiwezi kudisplay chochote
Capacitive touch screen inafanyaje kazi
Tough screen ina vitu vitatu
(a) Top grid (juu)
(b) clear insulator (kati)
(c) Bottom grid (chini)
Top grid na bottom grid zinaunganishwa na Indium Tin Oxide (ITO)
Capacitive touch screen inafanyaje kazi
Tough screen ina vitu vitatu
(a) Top grid (juu)
(b) clear insulator (kati)
(c) Bottom grid (chini)
Top grid na bottom grid zinaunganishwa na Indium Tin Oxide (ITO)
Umeme unapita kwenye sehemu zote za simu katika mfumo wa electrons lakini hauwezi kufika kwenye Top grid sababu ya insulator katikati ( haipitishi umeme)
Badala yake zinatengenezwa Negative electric field (NEF) ambazo husababisha positive charges kuwepo kwa juu
Badala yake zinatengenezwa Negative electric field (NEF) ambazo husababisha positive charges kuwepo kwa juu
Kwenye Top grid hivyo hutengeneza capacitors
Ukipeleka kidole chako kwenye kioo cha simu (screen) utagusa hizo capacitors, capacitors itasense kidole chako kwa maana kinapitisha umeme, capacitors itatengeneza fundo kwenye sehemu uliyogusa, hilo fundo linaitwa TOUCH
Ukipeleka kidole chako kwenye kioo cha simu (screen) utagusa hizo capacitors, capacitors itasense kidole chako kwa maana kinapitisha umeme, capacitors itatengeneza fundo kwenye sehemu uliyogusa, hilo fundo linaitwa TOUCH
Touch zote zinakuwa identified na kuwa processed na processor ya simu kujua unatouch nini na nini kiwe displayed
Ndiyo maana simu inachemka unavyotumia sana kwa sababu ya reactions btn your fingers and phone capacitors
Kabla ya ku-display tuangalie phone display ikoje
Ndiyo maana simu inachemka unavyotumia sana kwa sababu ya reactions btn your fingers and phone capacitors
Kabla ya ku-display tuangalie phone display ikoje
3. Display
Hii ndiyo inaonyesha kila kitu kwenye screen yako na unaweza kuona maandishi, picha n.k kwa Rangi mbalimbali
Kuna Tekinolojia mbalimbali za display kama LCD na OLED
LCD ~ Liquid Crystal Display
OLED ~ Organic Light Emitting Diode
Tuangalie OLED
Hii ndiyo inaonyesha kila kitu kwenye screen yako na unaweza kuona maandishi, picha n.k kwa Rangi mbalimbali
Kuna Tekinolojia mbalimbali za display kama LCD na OLED
LCD ~ Liquid Crystal Display
OLED ~ Organic Light Emitting Diode
Tuangalie OLED
OLED ni Tekinolojia ya kisasa zaidi katika kuonyesha vitu kwenye Ubora mzuri ( quality display)
Najua mnapendea simu zioneshe vitu clear au picha za simu ziwe clear basi tumia simu zenye OLED display
OLED display ina takribani 3.3 million pixel grids
Najua mnapendea simu zioneshe vitu clear au picha za simu ziwe clear basi tumia simu zenye OLED display
OLED display ina takribani 3.3 million pixel grids
Ambayo hutengeneza 10 million microscopic light in term of RGB system ( uwezo wa kuzalisha rangi tofauti tofauti)
Primary colours ziko tatu tu
R - Red
G - Green
B - Blue
Rangi zingine zote huzaliwa kutoka hapo
Kila pixel huundwa kwa negative, emmisine na positive layers
Primary colours ziko tatu tu
R - Red
G - Green
B - Blue
Rangi zingine zote huzaliwa kutoka hapo
Kila pixel huundwa kwa negative, emmisine na positive layers
layers ambazo hufanya kazi ya kuleta quality and clear colours
Naamini umeelewa
Cc: @WizaraUUM @ict_commission @renatuswilliam1 @jaliluzaid @Mkuruzenzi @ITexpertTz @razaqdm01 @OlesakaJR @Niztz @njiwaflow @BanzaBiashara @EmanuelYohana
Naamini umeelewa

Cc: @WizaraUUM @ict_commission @renatuswilliam1 @jaliluzaid @Mkuruzenzi @ITexpertTz @razaqdm01 @OlesakaJR @Niztz @njiwaflow @BanzaBiashara @EmanuelYohana